Kuhakikisha Zanzibar inakuwa nchi inayoongoza kwenye maendeleo ya
michezo kwa nchi za Afrika ya Mashariki na kati.
DHAMIRA YETU
Kuratibu na kusimamia maendeleo ya michezo kwa ajili ya kuleta Umoja, Amani, Utulivu,
Ajira na Maendeleo endelevu ya kuibua na kuendeleza vipaji
ili vishiriki katika mashindano na kuleta heshima kwa Zanzibar.
KAZI ZETU
Kusimamia utekelezaji wa Sera, Sheria na kanuni za Michezo.
Kuandaa na kusimamia mpango mkuu wa maendeleo ya Michezo Zanzibar.
Kuwa kiungo kati ya Serikali na wadau wengine wa michezo ndani na nje ya nchi.
Kujenga na kuendeleza miundombinu ya michezo.
Kusimamia haki, maslahi, afya na maendeleo ya wachezaji na viongozi wa michezo.
Kusimamia na kuendeleza timu za Taifa.
Motos
Tuwajali na kuwaenzi wachezaji wa zamani kwani tunaweza kujifunza mingi kutoka kwao.
Kuna wajibu mkubwa wa kuienzi na kuitunza Timu Yetu ya Taifa.